Cr7,Aguero,Ahadad na Msuva watengeneza jumamosi ya hattrick duniani

Mchezaji kitoka Tanzania Happygod Msuva usiku wakua amkia leo amejiunga na mastaa wengine duniani katika jumamosi ya hattrick kwani kwa mechi za siku ya jumamosi leo hii
Kumekuwa na hattrick Nne ambazo zime kinga nyoyo za mashabiki wengi wa mpila especially pale mtanzania Simom msuva anapo kuwa mmoja wao.

Hattrick ya kwanza imefungwa na mchezaji laia wa Argentina Sergio kun Aguero ambaye amepiga goli nne nakui saidia Manchestar city kushinda goli tano kwa moja dhidi ya lecester city

Hattrick ya pili imefungwa na mnyam mkali kule spain raia wa kireno, mchezaji bora kwa mwaka uliopita Christiano Ronaldo ambaye ana rekodi nzuri na real socieldad na leo ame endelea kuwela rekodi kila anapo kutana na team hiyo kwakupiga goli tatu katika ushindi wa goli tano kwa mbili  nakumfanya kuwa mfungaji bora wa mechi hiyo pale wanapo kutana naoo akiwa na goli 15 katika mechi tisa tyuu na hattrick ya ronaldo wana iita hattrick ya kwanza laliga kwani ndo perfect hattrick amabyo inahusisha mguu wa kulia, wakushoto na kichwa
   
Hattrick nyingne amabayo ime weza kupenya katika macho ya watu wengi duniani ni hattrick ya simon happygod msuva ambaye amepiga hattrick katika ushindi nakupika au kutoa assist za goli sita katika ushindi wa goli kumi  kwa bila zidi ya Sports Bissau Benfica ambapo msuva ana ungana na mtanzania  Ngassa mrisho kupiga hattrick katika hayo mashindano ya  Caf champions league,



Hatuishii hapo kwani katika team ya simon msuva mchezaji Ahadad amepiga goli tano akiwa na hattrick moja na goli mbili mkononi nakuwa kinala wa hattrick kwa siku ya jumamosi ya leoo

No comments